Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 17:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu alituma manabii na waonaji kuionya Israeli na Yuda akisema, “Acheni njia zenu mbaya mkatii amri zangu na maagizo yangu kufuatana na sheria nilizowapa babu zenu, na ambazo niliwapeni kupitia kwa watumishi wangu manabii.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 17

Mtazamo 2 Wafalme 17:13 katika mazingira