Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa thelathini na nane wa enzi ya Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu alianza kutawala Israeli, akatawala kwa muda wa miezi sita.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:8 katika mazingira