Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:5 Biblia Habari Njema (BHN)

Mwenyezi-Mungu akamwadhibu Azaria, akawa na ukoma mpaka alipokufa. Alikaa katika nyumba ya pekee na shughuli zake zote za utawala ziliendeshwa na mwanawe Yothamu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:5 katika mazingira