Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Hata hivyo, mahali pa kuabudia miungu ya uongo hapakuharibiwa, na watu waliendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani kwenye mahali pa juu. Yothamu alijenga lango la kaskazini la nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:35 katika mazingira