Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati wa enzi ya Peka mfalme wa Israeli, Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, aliteka miji ya Iyoni, Abel-beth-maaka, Yanoa, Kadeshi na Hazori, pamoja na nchi za Gileadi, Galilaya na Naftali na kuwachukua mateka wakazi wao.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:29 katika mazingira