Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Peka mwana wa Remalia, ambaye alikuwa ofisa wa jeshi la Pekahia, alishirikiana na watu wengine hamsini kutoka Gileadi, akamuua Pekahia katika ngome ya ndani ya nyumba ya mfalme huko Samaria, na kuwa mfalme mahali pake.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:25 katika mazingira