Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 15:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa hamsini wa enzi ya mfalme Azaria wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu alianza kutawala Israeli, akatawala huko Samaria kwa muda wa miaka miwili.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 15

Mtazamo 2 Wafalme 15:23 katika mazingira