Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli alimpelekea ujumbe Amazia mfalme wa Israeli, akisema, “Siku moja mbaruti wa Lebanoni uliuambia mwerezi, wa huko Lebanoni pia, ‘Mwoze binti yako kwa mwanangu.’ Lakini mnyama wa mwituni akapita hapo na kuukanyagakanyaga mbaruti huo.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:9 katika mazingira