Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Katika mwaka wa kumi na tano wa enzi ya Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yehoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala huko Samaria, akatawala kwa muda wa miaka arubaini na mmoja.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:23 katika mazingira