Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 14:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Amazia hakujali. Kwa hiyo Yehoashi mfalme wa Israeli alitoka akakabiliana uso kwa uso na Amazia huko vitani Beth-shemeshi, nchini Yuda.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 14

Mtazamo 2 Wafalme 14:11 katika mazingira