Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Mwenyezi-Mungu aliwarehemu na kuwaonea huruma. Aliwaangalia kwa wema kwa sababu ya agano lake na Abrahamu, Isaka na Yakobo. Hakuwaangamiza wala hajawaacha kamwe mpaka leo.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:23 katika mazingira