Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 13:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Mfalme alifuata maagizo ya nabii na kufungua dirisha ambalo lilielekea Aramu. Elisha akatoa amri “Tupa mshale!” Mara tu mfalme alipotupa mshale, nabii akasema, “Wewe ndio mshale wa Mwenyezi-Mungu, ambao kwao atapata ushindi juu ya Waaramu. Utapigana na Waaramu huko Afeka mpaka uwashinde.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 13

Mtazamo 2 Wafalme 13:17 katika mazingira