Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 12:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Yehoyada akachukua sanduku na kutoboa tundu kwenye kifuniko chake, kisha akaliweka kwenye madhabahu upande wa kulia, mtu anapoingia katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Nao makuhani waliokuwa katika zamu langoni waliweka fedha zote zilizoletwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 12

Mtazamo 2 Wafalme 12:9 katika mazingira