Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 12:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo mfalme Yoashi alimwita kuhani Yehoyada na makuhani wengine na kuwauliza, “Mbona hamrekebishi nyumba? Basi, msichukue fedha kutoka kwa watu mnaowatumikia, bali mtazileta, ili nyumba irekebishwe.”

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 12

Mtazamo 2 Wafalme 12:7 katika mazingira