Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 12:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoashi akaita makuhani na kuwaamuru, akisema, “Fedha yote inayoletwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu ikiwa imetokana na uuzaji wa vitu vitakatifu, fedha ya kila mtu kadiri alivyoandikiwa, na fedha ambayo mtu huvutwa kuitoa kwa hiari katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu,

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 12

Mtazamo 2 Wafalme 12:4 katika mazingira