Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 12:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Yoashi mfalme wa Yuda alichukua sadaka zote zilizowekwa wakfu na babu zake wafalme wa Yuda: Yehoshafati, Yehoramu na Ahazia, na kuongeza zile zake, pamoja na dhahabu yote iliyokuwa katika hazina ya nyumba ya Mwenyezi-Mungu na katika ikulu, akazituma kwa Hazaeli mfalme wa Aramu. Naye Hazaeli akatoka Yerusalemu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 12

Mtazamo 2 Wafalme 12:18 katika mazingira