Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 12:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Fedha zilizotolewa kuwa sadaka za hatia na sadaka za kuondoa dhambi hazikuingizwa katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu; hizo zilikuwa ni mali ya makuhani.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 12

Mtazamo 2 Wafalme 12:16 katika mazingira