Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 11:4 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini katika mwaka wa saba Yehoyada alituma ujumbe na kuwakusanya makapteni wa Wakari na walinzi; akaamuru wamjie katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu, naye akafanya nao mapatano na kuwaapisha humo katika nyumba ya Mwenyezi-Mungu. Halafu akawaonesha Yoashi mwana wa mfalme Ahazia.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 11

Mtazamo 2 Wafalme 11:4 katika mazingira