Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 11:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu wakazi wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuibomoa, wakavunja madhabahu pamoja na sanamu zake, hata wakamuua Matani, kuhani wa Baali mbele ya madhabahu. Kuhani Yehoyada akaweka walinzi kulinda nyumba ya Mwenyezi-Mungu.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 11

Mtazamo 2 Wafalme 11:18 katika mazingira