Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 10:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yehu hakutii sheria za Mwenyezi-Mungu, Mungu wa Israeli, kwa moyo wake wote. Badala yake, alifuata mfano wa Yeroboamu aliyewapotosha watu wa Israeli wakatenda dhambi.

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 10

Mtazamo 2 Wafalme 10:31 katika mazingira