Agano la Kale

Agano Jipya

2 Wafalme 1:13 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa mara nyingine tena, mfalme akatuma kapteni mwingine na watu wake hamsini. Kapteni wa tatu akapanda mlimani, akapiga magoti mbele ya Elia na kumsihi akisema, “Ewe mtu wa Mungu, nakusihi uyathamini maisha yangu, na ya watu wako hawa, usituangamize!

Kusoma sura kamili 2 Wafalme 1

Mtazamo 2 Wafalme 1:13 katika mazingira