Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 9:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Mefiboshethi mwana wa Yonathani, na mjukuu wa Shauli akaenda kwa mfalme Daudi, akaanguka kifudifudi mbele ya mfalme Daudi, akasujudu. Daudi akamwita, “Mefiboshethi.” Naye akamjibu, “Naam! Mimi hapa mtumishi wako.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 9

Mtazamo 2 Samueli 9:6 katika mazingira