Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 9:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Wewe, watoto wako na watumishi wako mtakuwa mnamlimia Mefiboshethi na mtamletea mavuno ili mjukuu wa bwana wako awe daima na chakula. Lakini yeye atakula mezani pangu.” Wakati huo, Siba alikuwa na watoto wa kiume kumi na watano na watumishi ishirini.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 9

Mtazamo 2 Samueli 9:10 katika mazingira