Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 7:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Tena ni watu gani duniani ambao wanaweza kufananishwa na watu wako wa Israeli, ambao Mungu wake alikwenda kuwakomboa ili wawe watu wake? Wewe ee Mungu ulijifanyia jina na kujitendea mambo makubwa na ya ajabu kwa ajili ya nchi yako mbele ya watu wako ambao kwa ajili yako mwenyewe uliwaokoa kutoka Misri, ukayafukuza mataifa na miungu yake mbele yao?

Kusoma sura kamili 2 Samueli 7

Mtazamo 2 Samueli 7:23 katika mazingira