Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 6:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Sanduku la Mwenyezi-Mungu lilipokuwa linaingia katika mji wa Daudi, Mikali binti Shauli alichungulia dirishani akamwona mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele ya Mwenyezi-Mungu; basi, akamdharau moyoni mwake.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 6

Mtazamo 2 Samueli 6:16 katika mazingira