Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 5:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Siku hiyo, Daudi alisema, “Mtu yeyote atakayewapiga Wayebusi na apitie kwenye mfereji wa maji ili kuwashambulia vilema na vipofu ambao roho yangu inawachukia.” Ndio maana watu husema, “Vipofu na vilema hawataingia nyumbani.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 5

Mtazamo 2 Samueli 5:8 katika mazingira