Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 5:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye mfalme na watu wake walikwenda Yerusalemu kuwashambulia Wayebusi waliokuwa wenyeji wa nchi hiyo. Lakini wao wakamwambia, “Hutaingia mjini humu, kwani vipofu na vilema watakufukuzia mbali.” Walimwambia hivyo kwani walifikiri kuwa Daudi asingeweza kuingia mjini humo.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 5

Mtazamo 2 Samueli 5:6 katika mazingira