Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 5:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Hivyo, Daudi akatambua kwamba Mwenyezi-Mungu amemwimarisha awe mfalme wa Israeli, na kwamba ameukuza ufalme wake kwa ajili ya watu wake wa Israeli.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 5

Mtazamo 2 Samueli 5:12 katika mazingira