Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 4:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu walichukua kichwa cha Ishboshethi na kumpelekea Daudi huko Hebroni. Nao wakamwambia mfalme Daudi, “Hiki ni kichwa cha Ishboshethi mwana wa Shauli ambaye ni adui yako, aliyekuwa anataka kuyaangamiza maisha yako. Mwenyezi-Mungu leo amekulipizia kisasi dhidi ya Shauli na wazawa wake.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 4

Mtazamo 2 Samueli 4:8 katika mazingira