Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 4:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Daudi akawaamuru vijana wake, nao wakawaua. Wakawakata mikono yao na miguu yao. Halafu wakawatundika mtini kando ya bwawa huko Hebroni. Lakini walikichukua kichwa cha Ishboshethi na kukizika katika kaburi la Abneri huko Hebroni.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 4

Mtazamo 2 Samueli 4:12 katika mazingira