Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 3:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Abneri alikasirika sana kutokana na maneno ya Ishboshethi, akasema: “Je, unafikiri mimi naweza kumsaliti Shauli? Je, unafikiri kuwa mimi naitumikia jamaa ya Yuda? Tazama, mimi nimekuwa mtiifu kwa jamaa ya baba yako Shauli, ndugu zake, rafiki zake na sijakutia mikononi mwa Daudi hadi leo. Hata hivyo, leo hii unaniona kuwa mwenye hatia kwa ajili ya mwanamke.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:8 katika mazingira