Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 3:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mfalme Daudi akamwambia Yoabu na wale wote waliokuwa pamoja naye, wararue mavazi yao, wavae mavazi ya gunia ili wamwombolezee Abneri. Wakati wa mazishi hayo, mfalme Daudi alitembea nyuma ya jeneza.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:31 katika mazingira