Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 3:18 Biblia Habari Njema (BHN)

Sasa, lileteni jambo hilo hadharani kwa sababu Mwenyezi-Mungu alimwahidi hivi Daudi, ‘Kwa mkono wako wewe Daudi mtumishi wangu, nitawaokoa watu wangu wa Israeli kutoka kwa Wafilisti na kutoka kwa adui zao wengine.’”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 3

Mtazamo 2 Samueli 3:18 katika mazingira