Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 24:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yoabu akamwambia mfalme, “Mwenyezi-Mungu, Mungu wako, na awaongeze Waisraeli mara mia kuliko walivyo sasa, nawe bwana wangu mfalme upate kuona ongezeko hilo kwa macho yako mwenyewe. Lakini, kwa nini wewe bwana wangu mfalme unapendezwa na jambo hili?”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:3 katika mazingira