Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 24:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini mfalme akamwambia Arauna, “La! Wewe hutanipa chochote. Mimi nitavinunua kwako kwa thamani yake. Sitamtolea Mwenyezi-Mungu, Mungu wangu, sadaka za kuteketezwa ambazo hazijanigharimu kitu.”Hivyo, mfalme Daudi alinunua uwanja wa kupuria na fahali kwa fedha shekeli hamsini.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:24 katika mazingira