Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 24:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini wakati malaika aliponyosha mkono wake kuelekea mji wa Yerusalemu ili kuuangamiza, Mwenyezi-Mungu alibadilisha nia yake. Mwenyezi-Mungu akamwambia huyo malaika aliyetekeleza maangamizi kwa watu, “Basi! Yatosha; rudisha mkono wako.” Malaika wa Mwenyezi-Mungu alikuwa amesimama karibu na uwanja wa kupuria nafaka wa Arauna, Myebusi.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 24

Mtazamo 2 Samueli 24:16 katika mazingira