Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Halafu aliyefuata miongoni mwa wale mashujaa watatu alikuwa Eleazari mwana wa Dodo, wa ukoo wa Mwahohi. Siku moja, Eleazari alikuwa pamoja na Daudi walipowatukana Wafilisti waliokuwa wamekusanyika kupigana vita. Waisraeli waliwakimbia Wafilisti.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23

Mtazamo 2 Samueli 23:9 katika mazingira