5. Hivyo ndivyo Mungu alivyoujalia ukoo wangu.Maana amefanya nami agano la kudumu milele;agano kamili na thabiti.Naye atanifanikisha katika matakwa yangu yote.
6. Lakini wasiomcha Munguwote ni kama miiba inayotupwa tu,maana haiwezi kuchukuliwa kwa mkono;
7. kuishika, lazima kutumia chuma au mpini wa mkuki.Watu hao wataangamizwa kabisa kwa moto.”