Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:36-39 Biblia Habari Njema (BHN)

36. Igali mwana wa Nathani, Msoba; Bani, Mgadi;

37. Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya;

38. Ira na Garebu, Waithri;

39. na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23