Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:30-39 Biblia Habari Njema (BHN)

30. Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

31. Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

32. Eliaba, Mshaalboni; wana wa Yasheni; Yonathani;

33. Shama, Mharari; Ahimu mwana wa Sharari, Mharari;

34. Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaaka; Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. Hesrawi, Mkarmeli; Paarai, Mwarbi;

36. Igali mwana wa Nathani, Msoba; Bani, Mgadi;

37. Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya;

38. Ira na Garebu, Waithri;

39. na Uria, Mhiti. Wote pamoja walikuwa mashujaa thelathini na saba.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23