Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:24-38 Biblia Habari Njema (BHN)

24. Asaheli, nduguye Yoabu, alikuwa mmoja wa mashujaa thelathini. Mashujaa wengine wa Daudi walikuwa: Elhanani, mwana wa Dodo wa Bethlehemu;

25. Shama, Mharodi; Elika, Mharodi;

26. Helesi, Mpalti; Ira, mwana wa Ikeshi, Mtekoa;

27. Abiezeri, Mwanathothi; Mebunai, Mhushathi;

28. Salmoni, Mwahohi; Maharai, Mnetofathi;

29. Helebu mwana wa Baana, Mnetofathi; Itai mwana wa Ribai, toka Gibea katika Benyamini;

30. Benaya, Mpirathoni; Hidai, wa vijito vya Gaashi;

31. Abialboni, Mwarbathi; Azmawethi, Mbahurimu;

32. Eliaba, Mshaalboni; wana wa Yasheni; Yonathani;

33. Shama, Mharari; Ahimu mwana wa Sharari, Mharari;

34. Elifeleti mwana wa Ahasbai, Mmaaka; Eliamu mwana wa Ahithofeli, Mgiloni;

35. Hesrawi, Mkarmeli; Paarai, Mwarbi;

36. Igali mwana wa Nathani, Msoba; Bani, Mgadi;

37. Seleki, Mwamoni; Naharai, Mbeerothi aliyekuwa mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya;

38. Ira na Garebu, Waithri;

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23