Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Vilevile, aliliua jitu la Misri. Mmisri huyo alikuwa na mkuki, lakini Benaya alimwendea akiwa na fimbo tu, akamnyanganya mkuki huo, na kumwua Mmisri huyo kwa mkuki wake mwenyewe.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23

Mtazamo 2 Samueli 23:21 katika mazingira