Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Wale mashujaa wake watatu walitoka, wakapenya katikati ya kambi ya jeshi la Wafilisti, wakaenda na kuchota maji katika kisima cha Bethlehemu, karibu na lango la mji, wakamletea Daudi. Lakini Daudi alikataa kuyanywa, na badala yake, akayamwaga chini kama tambiko kwa Mwenyezi-Mungu,

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23

Mtazamo 2 Samueli 23:16 katika mazingira