Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 23:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Shujaa wa tatu alikuwa Shama mwana wa Agee, Mharari. Wafilisti walikusanyika huko Lehi, mahali palipokuwa na shamba la dengu nyingi, nao Waisraeli waliwakimbia Wafilisti.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 23

Mtazamo 2 Samueli 23:11 katika mazingira