Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Watoto hao saba wa kiume Daudi aliwakabidhi kwa Wagibeoni, nao wakawatundika mlimani mbele ya Mwenyezi-Mungu, wote saba wakafa pamoja. Watoto hao waliuawa mwanzoni mwa mavuno ya shayiri.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:9 katika mazingira