Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, tukabidhi watu saba kati ya wanawe wa kiume, nasi tuwanyonge mbele ya Mwenyezi-Mungu mlimani Gibea, kwa Shauli aliyeteuliwa na Mwenyezi-Mungu.” Mfalme akasema, “Nitawakabidhi kwenu.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:6 katika mazingira