Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Baadaye kulitokea tena vita huko Gathi ambako kulikuwa na mtu mmoja alikuwa mkubwa kwa kimo, na mwenye vidole sita katika kila mkono, na vidole sita katika kila mguu, jumla yake vidole ishirini na vinne. Yeye pia alikuwa mzawa wa majitu.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:20 katika mazingira