Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:17 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Abishai mwana wa Seruya, alikwenda kumsaidia Daudi. Abishai alimshambulia yule Mfilisti na kumwua. Hivyo, watu wakamwapia Daudi wakisema, “Hutakwenda tena nasi vitani, la sivyo utaizima taa ya ufalme katika Israeli.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:17 katika mazingira