Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:12 Biblia Habari Njema (BHN)

alikwenda na kuichukua mifupa ya Shauli na Yonathani mwanawe kutoka wakazi wa Yabesh-gileadi, waliokuwa wameiiba kutoka mtaani huko Beth-sheani, ambako Wafilisti walikuwa wamemtundika Shauli na Yonathani siku ile Wafilisti walipomuua Shauli mlimani Gilboa.

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:12 katika mazingira