Agano la Kale

Agano Jipya

2 Samueli 21:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati mmoja kulitokea njaa kali nchini Daudi akiwa mfalme. Njaa hiyo ilidumu miaka mitatu mfululizo. Daudi alimwomba Mwenyezi-Mungu shauri. Mwenyezi-Mungu akamwambia, “Shauli na jamaa yake wana hatia ya kumwaga damu kwa sababu aliwaua Wagibeoni.”

Kusoma sura kamili 2 Samueli 21

Mtazamo 2 Samueli 21:1 katika mazingira